Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Agosti, 2014

BACK 2 S.U.A BACK 2 S.U.A KUNA NAMNA KJUU JPILI HII N SHIDAA BACK 2 S.U.A SHOW #teamSua #suaTz Are u a Dj | BreakDancer | Graffiti Writter |...Now we #back2sua Peace _Love_Unit and Happyness

Picha
    from 2:00 pm till 6:30 pm #ArtDesign_KUMKICHWA_ART_GALLERYandENTERTAINMENT

ZILE TUZO MIYEYUSHO ZINAZOTANGAZWA NAMA MGAZETI NA VYOMBO VYAO VYA HABARI... ZINAENDESHWA HIVIIII... HEBU ONENI MFANO HAI...

Picha
  Baada ya kutoka zangu kilingeni pale msasani club saa tatu(3) usiku nikainua simu ya mkononi kumpigia mmoja kati ya waendeshaji wa tamasha hilo:- P The Mc: Haloo ndugu, naitwa P The Mc mmoja kati ya washiriki wa tuzo zenu. JAMAA: Anhaa... eeeh....aanh sory kaka bado hatujamaliza kuhesabu kura zenu. P The Mc: kikubwa sio kuhesabu kura, mimi nafikaje hapo na ni nani atakayenipokea nyie endeleeni na hesabu zenu. JAMAA: sasa unajua tunahofia wote mkija hapa inaweza kuwa usumbufu ni bora tukishamjua mshindi tumpigie simu aje yeye tu peke yake. P The Mc: Duuh! kwa hiyo mpaka nipige simu ndo mseme hivyo? nisingepiga ningejuaje? na huo mfumo mmeiga BET au GRAMMY? maana duniani sijajua kama kuna tuzo zinatolewa kwa mfumo huo JAMAA: Usijali kaka we tuamini tu. P The Mc: Hapana siwezi kuwaelewa hata kidogo, watu wametupigia kura kwa kulipia kila sms sh 250 kwa wote waliopiga kura ina maana haikupatikana hata pesa ya nauli ya kuwaalika wasanii wahusika? JAMAA: (kimya...) ...

Watch| Nay Wa Mitego - Mr Nay (Official Video)

Picha

Download |Mabaga fresh ft Jeby_Msimpe pombe

Picha

Listen&Download| Stereo ft Victoria Kimani - Wako ( Never Let You Down )

Picha

Kumpigia kura mkali wa Reggae & Ragga Tanzania, Dabo kushinda tuzo ya Kimataifa ( IRAWMA ) Tarehe 4/10/2014 huko Florida U.S.A.

Picha
Ingia www.irawma.com kisha nominees/votes shuka mpaka category ya 10 kisha chagua DABO - Tanzania,shuka chini jaza details zako na ubonyeze vote,share,support,na show love!!

Ayler ft P icon Jazz Msamaha RMX (Official Music Video)

Picha

Chaba-Murder ft.Jordan(Official Music Video)

Picha

30th August 2014 @Nafasi art space, Mikocheni

Picha

Nash Mc Zuzu Ndiye Aliyenifanya Kuwa P The-mc Polymath Leo Hii.... Kwa Vyovyote Watu Wanavyomchukulia Ajue Kuwa Namuheshimu Sana.

Picha
  Mimi na Nash Mc Zuzu tumeanzia mbali sana kwa wasiofahamu........hata undugu huwa haudumu kiasi hiki!! Kupitia yeye nimeyajua mengi sana yanayokusiana na HIP HOP. Namuheshim sana. Mungu atuzidishie upendo na amani kwenye ujamaa wetu, AMEN! (P The-mc Polymath )  

Kwa wale wanaoitaji kufanya ngoma za HIPHOP karibuni sana 84studio maeneo ya kijitonyama kwa mawasiliano 0713795673 ngwesa.

Picha
 Kwa wale wanaoitaji kufanya ngoma za HIPHOP karibuni sana 84studio maeneo ya kijitonyama kwa mawasiliano 0713795673 ngwesa.

SUGE KNIGHT APIGWA RISASI KATIKA PARTY PRE MTV VMA

Picha
Mkurugenzi wa zamani wa kampuni ya muziki ya Deathrow ya Marekani, Suge Knight anaripotiwa kufanyiwa upasuaji hospitali kufuatia kupigwa risasi katika sherehe isiyo rasmi ya tuzo za video bora za MTV. Suge Knight inadaiwa alipigwa risasi kadhaa mapema siku ya Jumapili (Agosti 24), akiwa West Hollywood nightspot 1 Oak. Knight aliweza kuondoka huku akitembea mwenyewe katika sherehe hiyo iliyoandaliwa na Chris Brown, kabla ya polisi kumsaidia, kwa mujibu wa tovuti ya TMZ.

SaRaha - Shemeji (Official Video)

Picha

Wakazi - Sumu Ya Panya (My City) (Official Video HD)

Picha

Kipi SIjasikia - Professor Jay ft Diamond Platnumz Coming Soon

Picha

Benpol's New Audio release... Officially siku ya Jumatatu Tarehe 25 Agosti hii kupitia HAPA https://mkito.com/artist-profile/noiz-arachuga/355 Follow @iambenpol @defxtro @noizmekah

Picha
Ben Pol amepanga kuachia wimbo mpya Jumatatu ya wiki ijayo ambao ameufanya katika studio za Noiz Mekah, chini ya producer Def Xtro ameeleza kuwa wimbo huo utatoka maalum kwenye mtandao wa Mkito hivyo utakuwa ukinunuliwa online Kwa mujibu wa Ben Pol, yeye na DX walikubalina kuwa wimbo huo utakuwa wa kwao wote katika biashara hiyo kwa maana kwamba watagawana.

Napenda Kuwakumbusha Wote Wenye Cd ya Mchochezi Waendelee Kuzitunza Cd zao vizuri kwani itawapa nafasi ya wao kulipa 1500/= tu siku ya "'NASH MC TEMEKE SHOW""...

Picha
Kwa T.sh 3000/= tu unaweza kupata mzigo huu kwa kulipia ktk Namba 0713 900 994,0769 522 346! Kwa maelezo zaidi piga hizo namba pia...... MCHOCHEZI EP!

Download | Songa - Kikosi Cha Mizinga

Picha

Bunduki midundo Ak 47 zinapatikana Tshirts sh15000/= na Mixtape sh5000/= ☎ +255 753 116 561 @boyca255

Picha
Bunduki midundo Ak 47 t-shirt....Zinapatikana kwa bei ya sh 15000/= tu.....TaMaDuNiMuZiK....Printed by tamaduni art.....Kwa mdau ambaye unahitaji t-shirt na Mixtape ya Bunduki Midundo Vol 1....Fika Bawa_unlimited.....New Msasani Club....Karibu na makao makuu ya Zantel....Au chek na code hii 0753-116561 & 0655-156561..

Download| CHID BENZ_Feat_DIAMOND&AY_-_MPAKA KUCHEEE

Picha

Download| Inspector feat Juma Nature_Mungu Ndio Anapanga

Picha

Download| Bushoke - Bwagamoyo

Picha

Baadhi ya picha zikionesha wasanii wakiwa nyumbani kwa Afande Sele katika kumpa pole ya kuondokewa na aliyekuwa mkewe

Picha
Na hichi ndicho alichoandika Afande Sele "The King" Napenda kuchukua fursa hii kipekee kuwashukuru kila mmoja wenu #marafiki #fans wote #ndugu #majirani #watanzania kwa umoja na mshikamano mliouonesha kwangu kipindi hiki kigumu sana kuwahi kutokea maishani mwangu kwa kuondokewa na mpendwa mke/mzazi mwenzangu. Sina maneno yanayoweza kuelezea kwa wepesi faraja, upendo na ushirikiano nilioupata kutoka kwenu, Nakushukuruni sana. ASANTENI.

Mamong'oo Remix @jambosquad saa sita usiku wa kuamkia Jumatatu 18th August

Picha
Pichani ni Kikosi kizima cha Mamong'oo Remix.Huku tukisubiria LINK ya Mamong'oo remix saa sita usiku wa kuamkia Jumatatu 18th August, fannya kuungana na Jambo squad katika mitandao ya kijamii kwa ku-follow @odjambo @chaliijambo @jambosquad

‎TATUCHAFU‬ video in the Making.Two locations down Three to go....Directed by hefemistudios

Picha

TUSHIRIKIANE TENA KATIKA KUANDIKA HISTORIA MPYA NA KUVUNJA RIKODI YA MCHOCHEZI. KAA TAYARI KWA...... NASH MC TEMEKE SHOW............

Picha
TULISHIRIKIANA KATIKA KUANDIKA HISTORIA HII SIKU YA TRH 24/05/2014 PALE NEW MSASANI CLUB KATIKA UTAMBULISHO WA EP YA MCHOCHEZI NA TULIJITOKEZA KWA WINGI SANA,SASA NAOMBA TUSHIRIKIANE TENA KATIKA KUANDIKA HISTORIA MPYA NA KUVUNJA RIKODI YA MCHOCHEZI. KAA TAYARI KWA...... NASH MC TEMEKE SHOW....................... Photo: TULISHIRIKIANA KATIKA KUANDIKA HISTORIA HII SIKU YA TRH 24/05/2014 PALE NEW MSASANI CLUB KATIKA UTAMBULISHO WA EP YA MCHOCHEZI NA TULIJITOKEZA KWA WINGI SANA,SASA NAOMBA TUSHIRIKIANE TENA KATIKA KUANDIKA HISTORIA MPYA NA KUVUNJA RIKODI YA MCHOCHEZI. KAA TAYARI KWA...... NASH MC TEMEKE SHOW.......................

Support | City to City The Mixtape(Tdx Wangex)

Picha

Download |Hardmad_Rock Bong (produced By Tiddy Hotter)reggae vibes

Picha

graffiti exhibition at Nafasi Artspace,saturday August 30th 2014

Picha
First graffiti crew,first graffiti institution,first graffiti exhibition,first graffiti crew to go global.....we are trail blazers....will be fun,will be hip hop scene....we are going to transform your soul through graffiti art....greatest hip hop tunes will going to blaze you up.....Wachata crew +255 finest..

Wimbo wa My Number One wa Diamond umeshinda tuzo ya Wimbo Bora wa Afrika Mashariki katika tuzo za Burundi zinazojukana kama TTM Awards.

Picha
“Asante sana kwa Media wadau na Mashabiki zangu pendwa kwa kuifanya Number One kuwa Nyimbo Bora ya East Africa ya Mwaka kwenye tunzo za #TTTMAwards nchini Burundi.....” Ameandika Diamond kwenye Instagram akiambatanisha na picha ya mtu aliyempokelea tuzo hiyo

AFANDE SELE AFIWA NA MKEWE!(mama Tunda)

Picha
Msanii afande Sele ameondokewa na mzazi mwenzie (aliyewahi kuwa mkewe..... na hichi ndicho alichoandika. Ndugu zangu!! Nimefiwa na Mzazi mwenzangu (Asha) /mama wa wanangu (mama Tunda) ..ni pigo kubwa kwangu na wanangu. SISI NI WAJA WA MWENYEZI MUNGU NA HAKIKA KWAKE TUTAREJEA; MUNGU AMPUMZISHE PEMA. R.I.P mama Tunda na pole sana Afande Sele!

Download |Fid Q Feat. P Funk Majani_Bongo Hip Hop

Picha
Leo ni siku ya kuzaliwa ya rapper toka Mwanza, Fid Q na ameamua kuachia wimbo wake ‘Bongo Hip Hop’ aliomshirikisha P-Funk Majani katika kusherehekea siku hiyo. Wimbo huu umetayarishwa na Majani ndani ya Bongo Records na utakuwa sound track kwenye documentary ya rapper huyo aliyoipa jina la ‘Bongo Hip Hop’.

BOB JUNIOR_ AND _ROMA_MAUMIVU_Loading...

Picha

Feza Kessy- My Papa (Official Video)

Picha

Professor Jay 2015 anaenda kugombea ubunge katika moja ya majimbo ya mkoani Songea,

Picha
Rapa mkongwe wa bongo Profesa Jay wa mitulinga, kama unakumbuka vizuri tarehe 21 mwezi wa tano mwaka jana 2013 alikabidhiwa rasmi kadi ya uanachama wa chama siasa ch a Chadema na aliyemkabidhi Prof kadi hiyo ni mbunge ambaye pia ni msanii wa Hiphop Tanzania Joseph Mbilinyi/Sugu. baada ya pale hisia za watanzania zikasafiri mpaka mkoani Songea na kutoa jibu kwamba eti 2015 Profesa Jay anaenda kugombea ubunge katika moja kati ya majimbo ya mkoani humo, profesa jay nae akafunguka kuwa, yeye ameingia tu kwenye siasa kutaka tu kutumia sauti yake, kutumia kipaji chake na hali yake ya kujuana na watu kuweza kuwasaidia watu wengine kwa namna moja ama nyingine, hayupo kwa ajili ya kugombe sehemu yoyote.