Shujaa asiyejulikana,kulekea kuazimisha siku ya mtoto wa Africa
VITALI MAEMBE,jana aliamua kulala mtaani na watoto
wanaoishi kwenye Mazingira magumu,akiwaimbia na kubadilishana nao
mawazo pamoja na kuwafariji.Asubuhi akatembelea mahabusu ya
watoto Upanga na kupata nafasi ya kuongea na mahabusu watoto na
kuwaimbia pia!hivi sasa ni navyooandika haya vitali yupo njiani
kuelekea Bagamoyo kwa mguu(kutembea) na akipita kila maskani anayokutana
nayo kuongelea swala zima la watoto wanaoishi kwenye Mazingira Magumu,
Respect to u brother your the TRUE HERO...june 16th Siku ya mtoto wa
Africa.
Maoni
Chapisha Maoni