Diamond Platnumz ameshindwa kuchukua tuzo yoyote( MTV MAMA-2014 DURBAN)
Diamond Platnumz ameshindwa kushukua tuzo yoyote. katika vipengele
viwili alivyokua anagombania, tuzo ya best collaboration ilienda kwa
uhuru na nyimbo yake ya tjukutcha aliyomshirikisha professor oskido and
dj bucks huku tuzo ya pili ya Best Male ikienda kwa Davido kutoka nchini
Nigeria.
Best Male:
Davido (Nigeria) WINNER
Davido (Nigeria) WINNER
Maoni
Chapisha Maoni