Onesho siku ya Mtoto wa Afrika Bagamoyo 16 juni 2014 viwanja vya mwanamakuka

Maembe Vitali Ametoa Shukrani kwa wote waliounga mkono matembezi aliyofanya kuunga mkono kauli mbiu ya elimu siku ya mtoto wa Afrika 2014.Amesema Vitali  "Marafiki waliungana nami, niliingia Bagamoyo tarehe 15 saa tisa wasanii walinipokea na tukafanya maongezi na tambiko".
Maembe Vitali

Maoni