#NASHMCTEMEKESHOW INAKUJA.....#NashMcTemekeShow Inakuja.
Kuelekea #NashMcTemekeShow,kama una
T shirt yenye logo zangu,kwa mf: Mchochezi,Mzimu Wa Shaaban
Robert,V.v.u,Kiswahili Lugha yangu na Nash Mjomba Mc pamoja na Cd zangu
zote,basi endelea kuvitunza vizuri vitu hivyo kwani ukija na kimojawapo siku ya
Show utaweza kulipa nusu Ya kiingilio Husika ambacho kitatajwa kuanzia hivi
karibuni,kama unahitaji bidhaa kati ya hizo basi unaweza kupiga namba
0769 522 346,tafadhali piga simu kwa jambo
husika tu na si kinyume na hapo,vigezo na masharti kuzingatiwa!.
Maoni
Chapisha Maoni