KITU MNACHOSHINDWA KUELEWA KATI YA MALLE MARXIST NA SHASHOW WA LUNDUNO
Shashow Wa Lunduno:> Malle ni msanii mnafiki sana KAPOST STATUS ya KINAFIKI alafu
KANI-BLOCK(facebook)...@jiulize kwa nini KANI-BLOCK kama sio NIDHAMU ya UWOGA ni nini???
Malle Marxist:> nilikuwa
namchallenge juzi kati hapa kwenye post zake juu ya muziki wake kwa ujumla,,
mwanzoni akanipigia simu akanimind lakini baadaye akanielewa kwamba Nampa
Changamoto tu hakuna uadui wala nini.
Shashow Wa Lunduno :>Sa ckiliza Malle izo ndo nguvu zenyewe izo za
kuwaweka mashabk dilema kwa kuzania 2na bifu so 2nawafnya wawe up2date kinoma
noma kuhusu ce" we endelea kuwatisha 2 na me nikizama mtandaon najifanya
km nimemind ivi na nacoment kinoko nook.
Chat Conversation End
Maoni
Chapisha Maoni