Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Novemba, 2014

SANTURI YA R.A.P (REPRESENTING AFRICA POPOTE) IKO TAYARI NA INAINGIA SOKONI DESEMBA 5.

Picha
One (Incredible), R.A.P (REPRESENTING AFRICA POPOTE) IS DUE TO HIT THE STREETS ON THE 5TH OF DECEMBER.

THE ELEMENT II

Picha
Kati ya ViTAMiN zipatikanazo kwenye THE ELEMENT II...Narlekea iKulu - Miracle na Shabiki - Adam Shule KongweHamisi .... Mzigo rasmi utapatikana kuanzia tarehe 29 Novemba hii.. HiP HOP 7212..D.D.C..Tamadunimuzik..M Lab records..Aj records Duke Gervalius

Wasanii kama ‪#‎GEEZMABOV‬ tunao wengi sana hapa ‪#‎TANZANIA‬ lakini hatujifunzi kwa mifano!! kuna vipaji havipaswi kupuuziwa hata kidogo jamani vipeni support a hundred please!!.

Picha
#‎ Lawama‬ zinakuwa nyingi sana naona!!! Na wengi mnazipeleka eneo moja tu!! Askwambie mtu hakuna watu wenye ‪#‎ Stress‬ kama sisi ‪#‎ wasanii‬ aaaf mbaya zaidi sisi wengi wetu hatuwezi kuishinda hiyo ‪#‎ Challenge‬ finally tunafail!! Kuna kipindi msanii unakuwa ‪#‎ Juu‬ sana na hiyo inatokana na juhudi zako na support unayopewa na wadau wa mziki (media sanasana) na mashabiki!! ‪#‎ HALAFU‬ GHAFLA FROM NOWHERE ULE UJUU UNAANZA KUPUNGUA KISHA UNAISHA KABISA!! AU KUNA WAKATI HUO UJUU HAUISHI TARATIBU UNAISHA GHAFLA TU VUUUP!! #STRESS INAANZA!! SWALI NI KWANINI HUO UJUU UNAISHA GHAFLA!!? Je uwezo wako unaisha? Unaridhika mafanikio? Unaikosa ile support ya awali toka kwa wadau? Je unashushwa kwa nguvu za watu fulani? Kuna wengine sasa wasanii wanakuwa hawajawahi kuwa #JUU Lakini wanafight kufika juu na wanajituma hasa na ‪#‎ NI_WAKALI‬ sana lakini zinatokea tu ‪#‎ FIGISUFIGISU‬ msanii anakuwa hatoboi!! Finally anaamini anabaniwa na hapewi support. ..#STRESS IN...

TANZIA...GEEZ MABOVU AMEFARIKI DUNIA.

Picha
Msanii wa Hip hop Geez Mabovu amefariki dunia usiku wa saa mbili ya leo baada ya kusumbuliwa na maradhi kwa miezi kadhaa Wiki kadhaa zilizopita Geez Mabovu alielekea kwao Iringa kwa matibabu zaidi na ndipo hali yake ilibadilika na kuwa mbaya hadi umauti ulipomkuta hii Leo. R.I.P Geez Mabovu.

TOKA KWENYE MIXTAPE YA ‪#‎MWENGE_KIWALANI‬ TUTAACHIA WIMBO WIKI IJAYO UNAOITWA ‪#‎HAPPY_BIRTHDAY_WACK‬ KWA AJILI YA KUWAPONGEZA MA WACK WOOOTE DUNIANI!!!!!

Picha

FIKRAH TEULE MOMBASA NA NASH MC TANZANIA WANAKULETEA... ‪#‎TEMBEZAKINASAMOMBASA‬ TAREHE 22/11/2014 UKUMBI WA ALLIANCE FRANCE JIJINI MOMBASA.

Picha
  FIKRAH TEULE MOMBASA NA NASH MC TANZANIA WANAKULETEA... ‪#‎ TEMBEZAKINASAMOMBASA‬ TAREHE 22/11/2014 UKUMBI WA ALLIANCE FRANCE JIJINI MOMBASA

Lyrics| Young Killah Msodoki Ft: Fid Q Produced By: P-Funk Majani

Picha
Read “13” by Young Killah Msodoki on Genius